<br />i knew it Am me noma huhu nasubiri pesa yangu
<br />huenda huyo m1 alitoa 1000 ikiwa ni 500+500 na huyo mwingine alitoa 1000 kavu<br />
usiniambie kama nimekosa mazee
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ahahahaaah!thanx mkuu Janja P,nitakutumia kwa M-pesa!you are right buddy!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bado sijaona jibu mkuu,kama mmoja alimpa mia tano mbili kwa nn asingemuuliza kama anataka ice cream 2 za mia tano mia tano.coz walikuwa wawili?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Majibu yote ni sahihi ila kuna lililo sahihi zaidi,kwa hiyo wote wanatumia kichwa kufikiri!