Fikira za mwenyeketi!........kuwavua gamba

IWILL

JF-Expert Member
Jun 2, 2011
346
120
Ni nini hasa fikira za mwenyekiti huyu? DARKSIDE.jpg
 
Anayo amini ni sahihi ni yapi? Najisadikisha tulimpenda M/kiti wetu lakini sioni aibu kusema amechelewa! Amefumba macho mda mrefu sasa anakumbuka mswaki lunch time? Yote kheri na afanikiwe lakini ajue magamba yapo! Na siamini kama **** kujivua bali nikupiga moyo konde kuwavua kwani si wanawajua! kama sisi wana CCM tunawajua? Naamini huwezi imba wimbo usioujaa! Viongozi wetu wanaujua wimbo "GAMBA" sasa nawaumbe kikwelii
 
Back
Top Bottom