Huyo bf wako yuko ok mwenyewe, isijekawa yeye mwenyewe manyama ya uzembe kibao!
Fanya tizi, kula vyakula vya asili, veg na matunda kwa wingi. Kwa afya yako lakini si kwa kumfurahisha mtu.
Sister fanya jitihada uwe na mwili wa kawaida, kwani unene ni kero si tu kwa huyo uliyenaye hata wengine. Fikiria unavyohema kila unapopanda kwenye mlima mdogo tu au hata kwenye ngazi tu.
Ninaomba msaada, figure yangu inaninyima usingizi. BF wangu anaelekea kunibwaga, ati anataka kitu portable unajua tena wenzetu..... Nimeenda Gym lakini bado tu!
dada yangu huo unene uliupata wakati uko nae au kabla haujawa nae ulikuwa mnene? hajakupenda huyo. mwambie awafwate wembamba c wako kibao mjini asikupotezee muda , utampata mwingine cz kuna watu wanapenda wanene.
Dada huyo bf wako hakupendi wala nn haina haja ya kujitesa kwa ajil ya kumfurahsha mtu. Wewe huenda ndo umeumbwa hivyo unajua kuna wengne hata ufanye mazoezi gani mwisho wa siku utakua hivyohivyo mi nakushauri tafuta wanaopenda watu kama ww. Kama vp ni pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.