Fight or flight? Dilemma of Kenyan investors in TZ

Nyie wakenya hamna lolote na wala si chochote. Kwanza wengi wenu weusi tiii kama mkaa (zaidi ya giza la Dar). Na mkome kujiona eti ni watu "mlioendelea" wakati nchi yenu bado iko katika fungu la nchi mafukara wa kutupwa ulimwenguni! Mmekaa kila siku kujifananisha na Watanzania. Hivi nyie mna matatizo gani ya akili ambayo hayaponyeki? Shame on you!
......i see that everyday in nairobi.you are damn right.lol
 
Waache wakimbie soko limewashinda, tupo waTanzania wengi ambao tumeweza kufanya biashara katika masoko magumu (hostile nations), tukisikia jinsi wanavyolalamika tunabaki kucheka tuu...:eyebrows:

Jamani kama mmeshindwa shughuli tunaomba mtuachie nchi yetu tutafanya biashara wenyewe....:A S-coffee:
 
Waache wakimbie soko limewashinda, tupo waTanzania wengi ambao tumeweza kufanya biashara katika masoko magumu (hostile nations), tukisikia jinsi wanavyolalamika tunabaki kucheka tuu...:eyebrows:

Jamani kama mmeshindwa shughuli tunaomba mtuachie nchi yetu tutafanya biashara wenyewe....:A S-coffee:

Bila kutoa rushwa biashara haiendi. Na kama wewe ni mfanya biashara Tanzania, there is now way you're going to honestly tell me that hujawahi kutoa rushwa for the sake of your business. Ukija hapa na good practices za biashara lazima uliwe.

Ndio maana wafanyabiashara wa Kitanzania kwenye mpaka wa Holili/Taveta wanalalamika kuzuiliwa kuuza mahindi Kenya simply because one Tanzania big company has been given the monopoly to transport maize to Kenya at the expense of small-scale traders. Utakuta hii either ni kampuni ya mkubwa mmoja au imetoa rushwa imonopolise biashara yote.

Hata kama unadai Wakenya watuachie nchi yetu na wale small-sclae traders wa Kitanzania pale Holili/Taveta watanufaika na nini? Arguments nyingine zimekaa kilevilevi utadhani mtu katoka kwenye bar break ya kwanza JF. Acheni kutuabisha na vi-argument vilivyokaa kigossip.
 
Bila kutoa rushwa biashara haiendi. Na kama wewe ni mfanya biashara Tanzania, there is now way you're going to honestly tell me that hujawahi kutoa rushwa for the sake of your business. Ukija hapa na good practices za biashara lazima uliwe.

Ndio maana wafanyabiashara wa Kitanzania kwenye mpaka wa Holili/Taveta wanalalamika kuzuiliwa kuuza mahindi Kenya simply because one Tanzania big company has been given the monopoly to transport maize to Kenya at the expense of small-scale traders. Utakuta hii either ni kampuni ya mkubwa mmoja au imetoa rushwa imonopolise biashara yote.

Hata kama unadai Wakenya watuachie nchi yetu na wale small-sclae traders wa Kitanzania pale Holili/Taveta watanufaika na nini? Arguments nyingine zimekaa kilevilevi utadhani mtu katoka kwenye bar break ya kwanza JF. Acheni kutuabisha na vi-argument vilivyokaa kigossip.

Ndio nimetoka baa sasa hivi (East Gate) tena nilikuwa nakunywa na waKenya na waGanda lakini najua ninachosema na wala simun'gunyi maneno!...
:hat:
Kama biashara imewashinda waache mambo ya ku-throw tantrums...:A S-coffee:

Unaonekana ni kijana/binti ambaye hujui unachokisema hivi kweli unaweza kuilinganisha rushwa ya Tanzania na ile ya Kenya????:A S-coffee:
 
Ndio nimetoka baa sasa hivi (East Gate) tena nilikuwa nakunywa na waKenya na waGanda lakini najua ninachosema na wala simun'gunyi maneno!...
:hat:
Kama biashara imewashinda waache mambo ya ku-throw tantrums...:A S-coffee:

Unaonekana ni kijana/binti ambaye hujui unachokisema hivi kweli unaweza kuilinganisha rushwa ya Tanzania na ile ya Kenya????:A S-coffee:

Kweli humumunyi Mkuu. Rushwa ni rushwa tuu. Hakuna rushwa nzuri wala mbaya. Lakini kama ningetaka kujibu swali lako kwenye red ni hivi:

Tanzania is more corrupt than Kenya – report

Corruption has worsened in Tanzania over the last year, overtaking neighbouring Kenya in bribery prevalence level, according to a new report. According to the East Africa Bribery Index (2011) report, Tanzania has moved one place to occupy the third position from fourth last year, a call for the country to revisit its strategies in taming the vice.

Corruption has increased 3 per cent from 28.6 per cent last year to 31.6 per cent this year, a situation observers say is a wake-up call for authorities to step up anti-corruption measures. According to a survey conducted among 12,924 respondents across Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi, the bribery prevalence level was ranked highest in Burundi at 37.9 per cent while Rwanda retained the most positive outlook at 5.1 per cent.

Kenya recorded an improved ranking falling from the third to the fourth. At the institutional level, the police, the judiciaries and revenue authorities across the different countries were poorly rated, with all the police departments appearing in the list of the top ten most bribery-prone institutions.

The judiciary in Uganda and Tanzania are also listed among the top ten. It also emerged that the level of reportage of bribery cases remained marginally low in the five countries. The main reasons for this trend, researchers observed, were the fear of intimidation and low confidence in the institutions tasked with receiving graft-related complaints.
 
Inawezekana hayo ni mabadiliko ya mda mfupi...subiri 2015:A S-coffee:
Yes, ni mabadiliko ya muda mfupi. Because 2010, Kenya was worse than Tanzania. But just in one year Tanzania corruption was worse than Kenya. Kwa hiyo ikifika 2015, it will be even worse. So, ni sahihi kabisa kama ulivyosema.

Source/chanzo ni kipi????

Kwani wewe ulitoa source ulipodai rushwa ya Kenya ni mbaya kuliko ya Tanzania?
 
Yes, ni mabadiliko ya muda mfupi. Because 2010, Kenya was worse than Tanzania. But just in one year Tanzania corruption was worse than Kenya. Kwa hiyo ikifika 2015, it will be even worse. So, ni sahihi kabisa kama ulivyosema.

Kwani wewe ulitoa source ulipodai rushwa ya Kenya ni mbaya kuliko ya Tanzania?

Katika EAC the leeast corrupt country ni Rwanda followed by Tanzania angalia hapo chini:

...In East Africa, the least corrupt country is Mauritius with scores of 5.1 points, followed by Rwanda with 5.0 points, while the most corrupt is Sudan with 1.6 points.
The scores of other East African countries are listed below:
Tanzania: 3.0, Kenya: 2.2, Uganda: 2.4, Rwanda: 5.0, Burundi: 1.9, Djibouti: 3.0, Eritrea: 2.5, Ethiopia: 2.7, Somalia: 1.0, Mozambique: 2.7, Madagascar: 3.0, Malawi: 3.0, Zambia: 3.2, Zimbabwe: 2.2, Comoros: 2.4, Mauritius: 5.1, Seychelles: 4.8, Sudan: 1.6....

Source:
2011 Corruption Index Of African Countries – Transparency International « African Spotlight
 
Katika EAC the leeast corrupt country ni Rwanda followed by Tanzania angalia hapo chini:

Kwa hiyo rushwa Tanzania kuwa 3.0 na Kenya 2.2 kwako ni bonge na dili eh? Yaani unaona tumewapiga Wakenya bao la kisigino sio? Ukweli utakia kuwa rushwa is prevalence in East Africa regardless of whether Tanzania ni 3.0 and Kenya 2.2.

I case you want the source for my earlier post, here you go: news room/latest news/press_releases_nc/2011/2011_10_20_East_African_Bribery_Index_2011

In 2011, Burundi has a bribery prevalence level of 37.9% up from 36.7% in 2010, while Uganda and Tanzania have been ranked second and third at 33.9% and 31.6% respectively, both up from 33% and 28.6% in 2010. Kenya recorded a slight improvement at 28.8% down from 31.9% in 2010.
 
I don't want to indulge into a utopia uttering of economic growth in the country where discipline of fiscal virtues is wobbly low, and officials will do anything to publish forecast figures which, looks rosy. But I think very few people in Tanzania may be dancing this mantra of above 7% economic growth. As a matter of fact, who can we tell with precise substantiation that this same growth can translate or be measured into real growth in terms of government capacity to fund its own expenditure(we all know what is happening now in the govt) let alone national projects; worst still, industrial production in a country where factories are all but dead with few exceptions, is there any growth? When one cites Rwanda as the only country in our region whose growth purports to surpass Tanzania’s; regarding this case, there exist vivid examples that Rwanda is even tackling poverty issues by trying to eliminate grass thatched houses to start with in an attempt to equate it to quality of life of ordinary people, neither is the case with Tanzania!! Again, I may deduce from this fight or flight analysis of Kenyans about Tz market is that they were lured by these phony funky figures of economic growth, thinking that the same translate to purchasing power of ordinary Tanzanians who mainly form a big chunk of that potential market, while forgetting that statistics in almost all African countries are not factual, usually doctored to depict rosy statement of affairs which, however, doesn’t exist or is relatively worse off! Tanzanian market is a complex thing; from unconventional business practices to putting promise in compromise! While most Kenyans do not seem to know the basics of Tanzanian market partnered by their arrogance of may-be “authoritative” than Tanzanians, given almost every battle in business sector seems to continue on until someone gives up, rather than gives in, it is possible to learn this most useful art of luring foreign investors into TZ by using massaged stats! Another thing, Kenyan companies are always growing in confidence, from the very beginning and continuing throughout the process of setting their foot in Tanzania hopping for a ride into profit glory of business by somehow fishy environment in Kenya which is different from what we have in Tanzania. But how fast did they want to earn profits or grow? Kenyans must realize that TZ is fundamentally different from theirs and they need to go there and do homework, learn the Tanzania’s local selling culture, how your product will be sold and merchandised; and how Tanzanian businessmen evade tax, lol! The bottom line is, some Kenyan businesses may have screwed up in Tanzania, but indeed our house is in a deep a shit!
...Much respect! A good sermon, rev!
 
I will respect u if u will be backing up ur statements with references as a critical thinker instead of only lamenting from the air without points to back up ur facts! as for me i tell u industry sector has been growing excellently regardless of power shortages read here to see what i am talking about! What u suffer from is stereotype syndrome that makes u think ur analysis can convince us to believe what u say! If u think the data r cooked then u should go through the IMF or WB formula used to come up with a country's yearly GDP growth to make urself conversant with these issues since r not rocket science! But just to tell u again and again yes our country is in problems but not as Kenya! Otherwise u r against World renowned Economists that come up with figures everyday whether on inflation or GDP growth e.t.c.
...World renowned economists? pleaaaase! Why did they fail to see [or for that case, point out] that those growth figures do mean nothing to the economy, as a whole. What a waste!
 
arrogance and bad looser habit zinawasumbua! instead of conceding a defeat they resort into discrediting the market they have fought for so hard for damn five years and lost! :lol: Halafu inaelekea Nationmedia's journalists huwa wanaingia sana humu ndani maana walianza na report ya Deacons closing shop in TZ in the East African then when argument picked up na watu kutolea mifano kuhusu KCB! leo wamekuja na hii report hapa ya Fight or Flight! Heheh big up JF ur prowess is remarkable across all the corners of EA! BTW nishawahi kuwa quoted in the Nation though sikuandika anything in their media ila waka-claim nime-comment on their report!

Sio wote wanaodai wanapata hasara ni wa-kweli. Mara nyingi ni 'strategy' ya kukwepa kodi.

Kuna ukweli lakini kuhusu imani kwa mabenki ya tz kuliko mabenki mapya ya kigeni.
Kutokana na utapeli uliofanywa na benki ya Meridian sasa hivi watu wanakuwa na tahadhari sana na mabenki mapya kwenye soko.

Kuna swala la ukiritimba usio wa lazima pia kwenye mabenki yanayokwamisha kupata wateja wapya.
Mfano unaenda benki kufungua akaunti na vitambulisho bado unaambiwa uwe na wadhamini wenye akaunti kwenye benki hiyo hili ni sharti la kipuuzi sana.

Nafikiri njia nzuri ya kuwekeza ni kuwekeza kwenye uzalishaji hapa hapa nchini kwa hiyo walaji watanunua kama bidhaa ya tz hata kama imetengenezwa na kampuni ya kigeni kama ilivyo kwa SAAB. Hili ndio linafanyika hata China makampuni makubwa yanaweka viwanda CN kwa ajili ya soko na gharama ndogo za uzalishaji.

Huu uwekezaji wa kichuuzi chuuzi hata ukifa hauna madhara.
 
Woolworth is worthless..watanzania walikuwa wanatembea uchi kabla hawajaja? waende huko na nguo zao za dola 200. Hizo nguo si kipaumbele....semeni vimgine vya maana!

kenyans are always talking **** when it comes to Woolworth story...sasa cjui wanaenjoy kutuuzia nguo za kichina kwa mahela kibaaaaoo au walizani hapa Tanzania ndo kuna mafala wa kununua nguo za kichina kwa bei juu hivo??maduka ya pamba yapo kibao tu na yanauza nguo za ukweli tu na Woolworth kufunga duka lao haina any effect kwetu watanzania...na hao KCB kama wanafanya hasara wafunge tu biashara warudi kenya we have enough banks hapa bongo...
 
na kweli umenena

Bila kutoa rushwa biashara haiendi. Na kama wewe ni mfanya biashara Tanzania, there is now way you're going to honestly tell me that hujawahi kutoa rushwa for the sake of your business. Ukija hapa na good practices za biashara lazima uliwe.

Ndio maana wafanyabiashara wa Kitanzania kwenye mpaka wa Holili/Taveta wanalalamika kuzuiliwa kuuza mahindi Kenya simply because one Tanzania big company has been given the monopoly to transport maize to Kenya at the expense of small-scale traders. Utakuta hii either ni kampuni ya mkubwa mmoja au imetoa rushwa imonopolise biashara yote.

Hata kama unadai Wakenya watuachie nchi yetu na wale small-sclae traders wa Kitanzania pale Holili/Taveta watanufaika na nini? Arguments nyingine zimekaa kilevilevi utadhani mtu katoka kwenye bar break ya kwanza JF. Acheni kutuabisha na vi-argument vilivyokaa kigossip.
 
Tatizo hili sijui litaisha lini?

Yaani badala ya waafrika kuheshimiana wanatukanana

Ningetamani nione wakenya wanasoma Tanzania, na watanzania wanasoma kenya and vice versa

Ningetamani kuona kuna railway line zinazounganisha nchi hizi hadi ethiopia,cameroun nigeria etc..

wakenya wengi ni choka mbaya kama walivyo watanzania wengi mnajisumbua bure kudharauliana

NB. nina interest kenya nimeoa huko lakini nikienda kila mwaka kwa wakwe zangu vijijin hali ni mbaya kama ilivyo Tanzania..embu tubadilike tu-address issue zetu fairly..

Rushwa, uongozi usiojali wananchi maskini, ni matatizo yetu makubwa..
 
Back
Top Bottom