FIFA wamelonga..

Magehema

JF-Expert Member
Aug 11, 2008
428
27
Kwa mara ya kwanza FIFA wametoa kauli kupinga RAFU za kijinga zinazotishia career za wachezaji wa mpira wa miguu. Kuna baadhi ya mameneja wa timu kubwa wamekuwa wakilalamikia RAFU zisizokuwa na kichwa wala miguu wakabezwa!
 
Back
Top Bottom