Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
kweli mpila mchezo waajabu.yani egypt wameshindwa hata kupata goli moja? kesho sijui nitajificha wapi kazini manake nimeongea uchafu sana kuhusu timu ya usa.
Hahaha..babu unakazi kweli.
Mwenzio pia nashangaa hawa Pharaohs wamechemsha
kivipi.Yaani SA wame-advance with their mediocre game
na hawa Misri tulikua na high hopes nao wameambulia patupu...
kweli mpira hudunda.