hahaha jamani kha!Kwani we nani? kati ya maelfu ya watu tukuone wewe tena uliyekuwa unazunguka chini
Kwani we nani? kati ya maelfu ya watu tukuone wewe tena uliyekuwa unazunguka chini
Umri pia dah unatutoa mchezoni,, miaka mitatu nyuma kushuka chini hiyo mambo ilikuwa hainipiti,, but nowdays kivuleee site kugombana na mafundi
Fiesta ni nini?
Samahani wakuu.