CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Huwa ni mpango wa shetani aiseee
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
umeona eeh!!!!
Huwa ni mpango wa shetani aiseee
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
kweli kabisa Tanzania bila ukimwi inawezekana!
Aisee fiesta fell out of expectation, watu ni wachache, na wengi wao waliopo ni watoto wa secondary, ukiviona vidogo ,vinakunywa bia na fegi. Wale vijana wanaofeli fom 4 ndo wateja wa fiesta, halafu wote ni wasanii(under grounds), mademu wao wanataka kuwa bongo muvi
Mara watu ni wachache.,mara wengi wengi waliopo ni watoto wa sekondari,mbona hueleweki mkuu,kwani hao madogo waliingia bure?.,mkuu hasira zako za kunyimwa tenda ya kuuza chips kwenye fiesta usizimalizie hapa.