Mimi sioni umuhimu wa tamasha la fiesta kwani ni wizi,ufisad na uchafu tu kwa jamii yetu.shinyanga wamekuja na wasanii wachache na wakawabania wana HIPHOP..Show ilianza saa 9 na saa 12 mwisho hapo ilileta utata mpaka polis wakapewa kibarua cha kukwepa mawe, kwani walimkatisha FID q akiwa jukwaan..