Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemfungia aletee mtoto ,dada leo ameomba ruhusa kwenda kwao.
Hahahaa,siyo hivo dear.Hili suala hata wizara ya ustawi wa jamii wanajua.Ni haki ya mtoto kubaki na mlezi,Wakileta matatizo tutawafikisha kwa mama six.si unakumbuka yule askari wa marekani sijui, alikataa kwenda vitani kwa ajili ya mtoto.Na sisi tunampenda mtoto wetu.ZD uwe umampimia hilo limbwata sasa, ni kama anajiovadozi vile!!! kesho akienda muofisi, atakumbana na vimemo kibao....
Hahahaa,siyo hivo dear.Hili suala hata wizara ya ustawi wa jamii wanajua.Ni haki ya mtoto kubaki na mlezi,Wakileta matatizo tutawafikisha kwa mama six.si unakumbuka yule askari wa marekani sijui, alikataa kwenda vitani kwa ajili ya mtoto.Na sisi tunampenda mtoto wetu.
Kwani hapo Masa ndiyo yupi? ni kama huyu mwenye shati ya draft ya pink? au namfananisha mie.
ZD hahahaha tafadhali niko visiwani bado! kwani kuna mtu hapo mwenye kanzu na msuli?
Hee! kwani Zenj mpaka dar ni muda gani? kwa ndege dk 15 na kwa boti saa 1.
halafu ulimtoroka mtoto wa kizenj ukawahi fiesta,lol mwanaume balaa wewe!
Nisingaliweza toroka maana nguo zangu zote zimelowekwa maji! Nimekamatika mwaka huu
Shemeji Hana mdogo wake?
Kumbe zenj kama Tanga vile? sikujua hayo!
Ha ha ha ha, yuko wapi leo? mtamuuwa KAIZER.
Shemeji Hana mdogo wake?
ha ha ha, back to my root again.....
hahaha! Mpaka mida hii bado kwa kitanda. Shukrani kwa blackberry.HAhahahaha huyu ndo Xpin mwenyewe dah naona Serengeti zilimchosha