Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
mhh hata sijui mpendwa...mie nimeona mapicha tu kwenye blog
mmmhh.....nahisi walakini hapa......kwenye jambo hili
mhh hata sijui mpendwa...mie nimeona mapicha tu kwenye blog
hahahahaha kwa nini mpendwa!mmmhh.....nahisi walakini hapa......kwenye jambo hili
<br />kitu ambacho kipo poa ni urushaji wa video wa moja kwa moja wameweza kwa ufananisi mkubwa sana sijategemee kama wangelikuwa na uwezo mkubwa kama huu na wasanii hadi sasa sharobaro kajitahidi na yule demu sijui anaitwa nani....