Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
yaani bado hajapanda, hawajamlipa nini?
Mzee Mwanakijiji, mpaka saa hizi uko macho? Nani atafungulia kuku na ng'ombe kesho?
Swali Gumu ulilouliza. We kalale tutakujulisha kesho
Pumzika upate nguvu za kukamua maziwa kesho asubuhi.