Fiesta on Clouds TV

Aisee! Huyu kijana anaitwa Linah, na tabir atakua wema jr. Maana kashampita kimavazi. Kapiga kimini hakijawah kutokea Tz.
 
nyie kimini na skin tight
hakuwa uchi kabisa
but kanoona
gadner udenda nje
 
Duhh, Nimechoka eti mmoja kasema Tanzania kuna amani wakati wabunge wanataka kupigana, na watu tunapigana roba hapahapa kwenye show na JWTZ wanasimamia ulinzi kwenye show hii hii.

Amani maana yake nini?
 
nyie kimini na skin tight<br />
hakuwa uchi kabisa<br />
but kanoona<br />
gadner udenda nje
<br />
<br />



si ndio alichofwatia unafikiri wale watangazaji leo awako kikazi wanatamani tamashas liishe saa tano wawahi vilupo
 
yaaani hili pumbavu kalapina bado wana li entertain?????/
kweli mziki wa bongo ndo maana unadumaaa

yaani unaenda kumuona ludacris,saa nane wanaliweka hili pumbavu kala pina??????
 
Back
Top Bottom