KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
Rejea kichwa cha habari hapo juu;ninaomba kufanya mafunzo kwa vitendo (field practical/industrial training) katika taasisi/kampuni/wizara yeyote ambayo itakuwa ina idara (departments) zifuatazo:
1.Human resources;
2.Accounts & Finance;
3.Marketing;
4.Procurements&Supplies.
Hizo ndizo idara/departments ambazo ninastahili kuzifanyia kazi kwa mujibu wa fani/course ninayosoma. Japo ni mwajiriwa katika taasisi mojawapo ya serikali lakini kutokana na mapungufu ya idara kama tatu ambazo zinakosekana kiutendaji;hivyo ninalazimika kutafuta sehemu nyingine ya mafunzo ili kukidhi matakwa ya fani husika na vigezo vilivyowekwa na chuo pia.
Ni matumaini yangu kuwa nitafanikiwa kupitia hapa jamvini;natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wale wote watakaotoa ushirikiano katika hili.Natarajia kuanza mafunzo hayo tarehe 02/08/2010 kwa kipindi cha week nane(8).
Ningependa kusikia kutoka kwenu.
Kwa mawasiliano zaidi:kiuyajibu@jamiiforums.com,niandikie@live.com
1.Human resources;
2.Accounts & Finance;
3.Marketing;
4.Procurements&Supplies.
Hizo ndizo idara/departments ambazo ninastahili kuzifanyia kazi kwa mujibu wa fani/course ninayosoma. Japo ni mwajiriwa katika taasisi mojawapo ya serikali lakini kutokana na mapungufu ya idara kama tatu ambazo zinakosekana kiutendaji;hivyo ninalazimika kutafuta sehemu nyingine ya mafunzo ili kukidhi matakwa ya fani husika na vigezo vilivyowekwa na chuo pia.
Ni matumaini yangu kuwa nitafanikiwa kupitia hapa jamvini;natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wale wote watakaotoa ushirikiano katika hili.Natarajia kuanza mafunzo hayo tarehe 02/08/2010 kwa kipindi cha week nane(8).
Ningependa kusikia kutoka kwenu.
Kwa mawasiliano zaidi:kiuyajibu@jamiiforums.com,niandikie@live.com