mkuu unataka umpe u housegal au!Mdogo wako ni she au ni he?
heshima yenu wapendwa! Wapendwa nna mdogo wangu anachukua diploma ya enterprise management&accounts,anatafuta sehemu ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field),naomba msaada wa sehemu anaweza omba kufanya hiyo field,yeye yupo arusha.
mkuu mbona una dharau hivyo,mwenzio anaomba msaada we unaharisha uharo wako hapa,c lazima uchangie waweza potezea tu! Kilaza mkubwa wew!mpeleke kwenye vituo vya watoto yatima kuna kazi kibao kule za kufanya, au mnunulie Bodaboda abebe watu huko Arusha na Moshi
mpeleke kwenye vituo vya watoto yatima kuna kazi kibao kule za kufanya, au mnunulie Bodaboda abebe watu huko Arusha na Moshi
mpeleke kwenye vituo vya watoto yatima kuna kazi kibao kule za kufanya, au mnunulie Bodaboda abebe watu huko Arusha na Moshi