Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Dogo mmoja katoka saloon katengeneza nywele kwa mtindo wa fidodido(dread style).Alipokutana na baba yake ambaye ana uwalaza(upara) wa kati alifokewa sana na kuambiwa akanyoe nywele vizuri kwani fidodido ni mtindo wa kihuni.Dogo alirudi kwa kinyozi,akanyoa nywele za kati tu,za pembeni akaziacha kama zilivyo.Baba yake alipomwona akamwambia;'si bure mwanangu,utakuwa unavuta banghi'.Mtoto naye akajibu;'nimeiga style yako ya nywele,like father like son!'.