bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hahaha! Hiyo bold hiyo, hakuna ubishi bht ni dada yangu. Nguli ashakuwa bwashee tayari. Si mnaona wenyewe jamani?
ulimi jamani eeeeeeeeeehh!
Hahaha! Hiyo bold hiyo, hakuna ubishi bht ni dada yangu. Nguli ashakuwa bwashee tayari. Si mnaona wenyewe jamani?
Ha ha ha, nasubiri ya kaizer na BHT sijawahi kupata thanks kutoka kwa watajwa hapo awali then nitazigeuza ziwe signature.
Jana wa daladala alinichomokea nikamlia timing nikapiga site mirror na ngumi mm nikasonga.
Ha ha ha, nasubiri ya kaizer na BHT sijawahi kupata thanks kutoka kwa watajwa hapo awali then nitazigeuza ziwe signature.
hehehe nahisi msisitizo upo hapo
Presha ilikuwa inapanda na kushuka.....afadhali nilifikiri na huyu unabeba
Kwa Mfano.............? Au Eliza?Japokuwa wanasema kizuri kula na nduguyo, kuna vya kutokula hasa hasa ndugu yako anapokuwa mpwao!
Hahaha! Moja kwa moja mpaka chawote! Mpwa bana!
Swadakata nilikamua brake nilizikata kwa muda nikastukia nipo Chawote nikasimamia miguuni mwa Anna teh teh teh
Kwa Mfano.............? Au Eliza?
tatu.........seat ya kushoto kwako kama ni mwanaume jitahidi awe anakaa mwanaume mwenzako na kama imebidi akae mwanamke basi awe amepiga trouser kuavoid ile kuweka gia na kutelezesha mkono mpaka kunako mapajaSio matumizi ya break tu akina nyie inabidi mfanye hazard identification
kwanza msiendeshe mkiwa lager
pili .speed tafadhari
tatu....
Kwa Mfano.............? Au Eliza?
hehehe nahisi msisitizo upo hapo
hehehe nahisi msisitizo upo hapo
Mi najua tu yale macho yanayodondoka ndio yanayokupa tabu MpwaEliza bado yuko kwenye mchakato