Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Si tunapita kwanza pale mjengoni
Yeah kuweka sawa kwa wageni waalikwa ni muhimu
Si tunapita kwanza pale mjengoni
DaMie hii signature yako anyways nilikuwa naisoma tu:car::car:
Kifo cha mende miguu juu.
Fidel nenda mheshimiwa, kilaji kikipanda jihudume aliye karibu yako.
finest nataka nikuulize swali.... huyu loveness naona kafanana fanana na michelle... eeenhee??? ngoja nimshtue damie hapa akae sawa sawa.... afunge na belt... ndege yataka ruka hiyo...
loveness kwenye red mhhh, na hilo jina lako
Hivi kule usalule wanauza Banana??
Halaaa hii kitu Live bila chenga home boy hapa ni kumpa support tu huyu mpwa wetu....Hommie hivi inawezekana ilikuwa ni kweli nini
Akikosa Gongo ulanzi utatake cover.....Kutakuwa na vinywaji aina mbali mbali? Jamaa angu Kimey anakunywa Gongo lazima nije nae
Hommie umeanza kunitenga mie nakupenda ndo maana nakukumbusha tu.....Hommie naweza nikakuengua unajua kwenye list ya watakao hudhuria unajua!!
Hahahaha naona mpwa hapa unanionea gele Mungu anipe nini? Gunia la chawa nijikune mwaka mzima? hapana
Kule unapata ulanzi tu mpwa
Halaaa hii kitu Live bila chenga home boy hapa ni kumpa support tu huyu mpwa wetu....
Akikosa Gongo ulanzi utatake cover.....
Hommie umeanza kunitenga mie nakupenda ndo maana nakukumbusha tu.....
usije ukamkosa Love the nurse!!
Wazamiaji tena!!.......mwambie anitayarishie Safari za moto, ziwe zimekaa si chini ya miezi sita (sitaki bia mbichi mm).Habari ndo hiyo hapa nahofia wazamiaji tu
Ha ha ha ha NILHAM hebu cheki na intelijensia yako kwanza lol
Mie usiniache swit, huyu loveness huyu
Aikuonee gele naye mkaribishe bana
Huyu loveness love ni . . . . . .
Halaaa hii kitu Live bila chenga home boy hapa ni kumpa support tu huyu mpwa wetu....
Akikosa Gongo ulanzi utatake cover.....
Hommie umeanza kunitenga mie nakupenda ndo maana nakukumbusha tu.....
usije ukamkosa Love the nurse!!
ni nini intelejijensia??? nikaicheki sasa hivi..