Baada ya Mh. Zitto Kabwe mapema mwa wiki kusoma bajeti mbadala bungeni kwa kutumia iPad...nae Fid Q, Ngosha The Swagga Don kuendeleza mwendelezo wa swagga, alipokua katika tukio la fulani katika hoteli ya Kilimanjaro Kempiski kusoma hotuba kwa kutumia simu ya mkononi!