Sinai
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 288
- 47
Hali ni tete katika maeneo ya Ukumbi wa bunge Dodoma, Polisi wa kikosi cha kutuliza fujo wametanda kila kona kuzunguka Ukumbi wa bunge kwa hofu ya wanachuo wa UDOM kuzuia shughuli za Bunge, tangu alfajiri njia imefungwa na kulazimisha magari kupita njia mbadala!!!!