Naomba kuuliza swali makamanda wenzangu.
Arusha hivi tunavyoongea kuna FFU wa kumwaga kutoka huko walikotoka,sasa swali linakuja hapa,ni upendo wa serikali kutuongezea ulinzi cause labda kuna tetesi za kutokea kwa fujo mahali fulani au labda ni maandalizi ya tuliyoyazoea????
wamepiga kambi oljoro na njiro na kila siku wanafanya mazoezi.
Arusha hivi tunavyoongea kuna FFU wa kumwaga kutoka huko walikotoka,sasa swali linakuja hapa,ni upendo wa serikali kutuongezea ulinzi cause labda kuna tetesi za kutokea kwa fujo mahali fulani au labda ni maandalizi ya tuliyoyazoea????
wamepiga kambi oljoro na njiro na kila siku wanafanya mazoezi.