Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,872
- 21,950
Askari wa ffu arusha wamevamia gari moja mjini arusha
na kuanza kumchapa makofi dereva kabla ya kuanza kushikilia
msikano na kuaangusha gari kwenye mtaro....
Gari hilo t636 awx ilitokea leo hii....dereva wa gari anasema
alifika kituoni akawakuta maaskari watatu...akasema jamani kuna nafasi ya mmoja imebaki kusimamisha siwezi alipakia mmoja akaondoa gari yule aliengia ndani akapit mpaka kwa dereva na kuanza kumchapa makofi kwa nini amewacha wenzake...baadaye akangangania sterling ya gari likaangukia mtaroni
je mh kombe ni haki kweli wahuni kama hawa kuwepo jeshi la polisi
more info
angalia taarifa ya habari saa tano kamili itv
na kuanza kumchapa makofi dereva kabla ya kuanza kushikilia
msikano na kuaangusha gari kwenye mtaro....
Gari hilo t636 awx ilitokea leo hii....dereva wa gari anasema
alifika kituoni akawakuta maaskari watatu...akasema jamani kuna nafasi ya mmoja imebaki kusimamisha siwezi alipakia mmoja akaondoa gari yule aliengia ndani akapit mpaka kwa dereva na kuanza kumchapa makofi kwa nini amewacha wenzake...baadaye akangangania sterling ya gari likaangukia mtaroni
je mh kombe ni haki kweli wahuni kama hawa kuwepo jeshi la polisi
more info
angalia taarifa ya habari saa tano kamili itv