Machozi yamenibubujika nilipoona kwenye taarifa ya habari ya ITV saa mbili kwa askari wa FFU waliokuwa chuo kikuu wakimburura kijana ambaye wa kiume alikuwa anabubujikwa damu kichwani sijui kama yuko hai mpaka sasa manake alionyesha ameishiwa nguvu ameshikwa huku na huku akilazimishwa kutembea huku damu zikimvuja kwenye paji la uso
Nauliza IGP Mwema anaamini kweli haki ya wanafunzi kunyimwa mikopo na majambazi wa serikali ya CCM ni halali
IGP Mwema bila aibu anaitisha mkutukano wa kusafisha jeshi la polisi huku askari wake wa FFU wakitaka kuuwa mwanafunzi anayedai haki yake kwa njia ya maandamano bila silaha
IGP Mwema ni mzazi kwa vile watoto wake na wa shemeji yake Kikwete wana pata kila wakitakacho ndio maana anaona watoto wengine hawana haki ya kudai haki yao
Mkuu wa chuo Mkandara angekuwa mtoto wako anaburuzwa akitililikwa na damu nyingi kiasi hicho ungefurahi
My Take
Nawaombeni watanzania popote mlipo mukatae udhalimu wa jeshi hili la polisi linalouuwa wananchi kila siku acheni wanafunzi watoe kilio chao cha maana yanini munawaua na kuwatia vilema vya maisha huku watoto wenu mukiwasomesha na kuwatibia ulaya
Nauliza IGP Mwema anaamini kweli haki ya wanafunzi kunyimwa mikopo na majambazi wa serikali ya CCM ni halali
IGP Mwema bila aibu anaitisha mkutukano wa kusafisha jeshi la polisi huku askari wake wa FFU wakitaka kuuwa mwanafunzi anayedai haki yake kwa njia ya maandamano bila silaha
IGP Mwema ni mzazi kwa vile watoto wake na wa shemeji yake Kikwete wana pata kila wakitakacho ndio maana anaona watoto wengine hawana haki ya kudai haki yao
Mkuu wa chuo Mkandara angekuwa mtoto wako anaburuzwa akitililikwa na damu nyingi kiasi hicho ungefurahi
My Take
Nawaombeni watanzania popote mlipo mukatae udhalimu wa jeshi hili la polisi linalouuwa wananchi kila siku acheni wanafunzi watoe kilio chao cha maana yanini munawaua na kuwatia vilema vya maisha huku watoto wenu mukiwasomesha na kuwatibia ulaya