Nimepita hapa polisi ufundi kuelekea Jitegemee. Nimekuta magari ya kuwasha manne yanajazwa mafuta pamoja na defender 6 ambazo zote zimejaa FFU. pia hapa jitegemee round about nimekutana na Defender 4 nyingine. Sijajua kama leo kuna mikakati yoyote ya wafuasi wa Shekhe Ponda kufanya kitu au la! Wenye taarifa zaidi tujuzeni ili tufahamu kinachoendelea.