mossad007
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,165
- 850
Hata mimi najiuliza maswali hapa....sijui itakuwa ni nini
Nando naye kama mchawi sa anaongelea vp vitu ambavyo watu hatuvioni
Hata mimi najiuliza maswali hapa....sijui itakuwa ni nini
Mmhh! Mimi nafuatilia bba, sidhani kama kahamishia mapenzi bali naona wote wawili wana vutiwa na kila upande, kama unakumbuka fedha alimwambia big kuwa amependa kujiamini
kwa oneal tangu siku ya kwanza, pia wamekuwa wakipigiana vote za crush date! Kiasi oneal kuwaomba wenzie nxt wk wampigie fedha bila kujua jana angetia maguu Rubies! Back to Elikem, feza alishasema hawezi kudate mtu wa umri wa chini yake! Ndo kisa cha elikem kujiweka kwa Fatima! Ila mm naamini kama kweli anapenda basi roho yake iko kwa Feza! Si pokello wala fatima. Nando aliomba kwa dilish na mtt akatoa nje. Vikaisha peacefully. Hata kwenye presentation yake alisema hawezi kumchukia demu kwa kumnyima cookies zake!! All in all jana feza kaniboaaa! Ndo nn kujilewesha vile sasa? Yaani I waz big fan of her, alinifanya nibadiri mtazamo wangu juu ya mamiss wetu ila jana kanifanya nimtazame upya kabla sijampa support yangu kwa 100%! Eishh yaani hana soni kbs! Anaongea kupita kiasi, anafakamia mipombe utasema hajawahi kunywa?. Ilitakiwa jana asiingie hata kwa jaquzi! Anywe kiasi ili asome mazingira! Naamini oneal atakuwa amefadhaika sn, ukizingatia jmosi alivopanda palee juu na kucheza kama lap dancer!! Sidhani kama j3 atapona nomination for possible eviction.
Vipi budget ya tz imekidhi vigezo
kiukweli hii kutu siipendii, huyu mmiliki angeligeuza haya mashindano ya big bro, waende wanafunxi wakaonyeshane au kushindana kitaalumaa kwa maana ya kimasomo ingesaidia xaaana kuliko hii, anyway ni mtixamo tuu, kweny jamii mambo kama haya yapo na washabiki wake wapo humuhumu kweny jamiii
Kuna watu mna muda wa kufuatilia upuuzi sijawahi ona, uMagharibi una tuponza waTanzania wenzangu.
Kuna watu mna muda wa kufuatilia upuuzi sijawahi ona, uMagharibi una tuponza waTanzania wenzangu.
Kama wewe tu ulivo na mda wa kufuatilia upuuzi wetu.. umeikuta thread haikuhusu ukawashwa ukaanza kusoma comments na kuchangia so na ww mpuuz tu...
Kuna watu mna muda wa kufuatilia upuuzi sijawahi ona, uMagharibi una tuponza waTanzania wenzangu.
Dume zima linafuatilia upuuzi,,,matatizo ya kukaa na dada zako hayo angalia au ndo K.K.B?
Nando MESHAKULA MZIGO KWA SELLY, UWIIIII DAKIKA 15 NZIMA MTOTO YUKO ULINGONI TU......Selly anasema basi nando alishakipata alichokitaka so nini kifuatacho???
Sijaelewa anaposema alishakipata anachokitaka
Kwani wanawake wanasemaje pale mwanaume anapokuwa amepata tundi? selly ni kama anajiskia vibaya na kuona hajatenda kitu sahihi kula tundi na nando.
Mmmmh....sielewi....na maana nando alipata mzigo...I doubt bana
Siamini kama hili libaba BOLT halitoki jamani....