Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
Hivi ukiambiwa kesho unatakiwa ufike ofisini saa 3:00 asubuhi, huwa hutokewi na ile hali ya fever fever fulani hivi? yaani huu ndo ugonjwa wangu hasa ikitokea kwa ofisi mpya kabisa maana nikifikiria jinsi mazingira ya ofisi yalivyo mapya kwangu na sheria zake huwa napatwa sana na fever, lkn nikizoea aaaah mswano kabisa, sijui kwanini hili linanipata sana!