mwanakijiji, umeanza kugusa ambako wenzako hawajathubutu. Huyo jamaa (Ruhinda) ana mikono mingine na huweza kufika popote. Tembea kwa uangalifu.
mwanakijiji, umeanza kugusa ambako wenzako hawajathubutu. Huyo jamaa (Ruhinda) ana mikono mingine na huweza kufika popote. Tembea kwa uangalifu.
mwanakijiji, umeanza kugusa ambako wenzako hawajathubutu. Huyo jamaa (Ruhinda) ana mikono mingine na huweza kufika popote. Tembea kwa uangalifu.
Tukimaliza Ruhinda afatie Yusufu Mushi maana ni mmoja wa makuadi na madalali wa Mr Clean,,kwa ufupi hawa jamaa ndio wanamiliki Phoenix House pale ilipo NMB na kampuni moja ya kitapeli ya insurance halafu wako pia kwenye madudu ya Mwananchi Gold mining....mnabisha shwauri yenu
Is this another M.M. Mwanakijiji original...?let me give you another line..
"JF - The News behind the Newsmakers!"
let me give you another line..
"JF - The News behind the Newsmakers!"
naona alikuwa anajua anachozungumzia...
Kwa hivyo yawezekana kuwa hii ndiyo "axis of corruption"
Mkapa
Chenge
Ruhinda
Rostam
Mkuu ES,kweli unatusaidia sana sisi young generation,kujua details za viongozi na other influential people ktk hii nchi yetu.
Umenisaidia sana kujenga positive perception juu ya mbunge wangu ambae japo nilimpigia kura,sikujua sana historia na ngazi alizopita hadi leo ni waziri!He is truly an inspiration.
Before,sikua naona anything special out of Malecela,but ua arguments concerning him,made me see how important he has been to the development of our beloved country.
Keep it up mkuu.