BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Sikatai kila mtu ana haki ya kuamua kitu lakini nimekuwa nikijiuliza kaka yetu sunzu ataacha lini kujichubua na hili linamfanya hata alipoumia kwa kweli upande wa kushoto ukiangalia namkumbuka dada yengu mmoja pale sinza mori alivyojichubua dawa ikamgonga kawa wa kijani nusu uso.
So naamini walio karibu watampa mwelekeo hasa kipindi hiki cha joto dawa zinaweza kumharibu na tukampoteza mchezaji wetu mahiri.
So naamini walio karibu watampa mwelekeo hasa kipindi hiki cha joto dawa zinaweza kumharibu na tukampoteza mchezaji wetu mahiri.