wana JF,
Nimepata taarifa za kusikitisha kutoka kwa baadhi ya marafiki zangu wa karibu sana ambao wanasoma masomo ya jioni pale chuo kikuu cha Mzumbe,D'salaam Campus,kwamba kuna mwalimu (lecturer) wao Dr Felician Barongo ambaye anafundisha masomo ya Human resource Management,anawasumbua sana kiasi cha kuleta kilio kwa mabinti wanaochukua masomo hayo katika chuo hicho.
Mzee huyo nasikia hutumia silaha ya kutoa test darasani ambazo anajua kabisa kuna watu atawakamata, na mara nyingi wanaokamatwa ni mabinti,akisha wakamata,anawaita moja moja wale wote waliofanya vibaya wamuone ofisini. sasa wakisha kwenda moja moja kwa wakati wake anachagua wale anaowataka na kumwaga sera zake za mapenzi,ukikubali yanakuwa yameisha shule kwako inakuwa nzuri ,lakini ukikataa, unaanza kuchezeshwa kwata na kigwaride mpaka umpe kila anachokitaka.
naomba wana JF huyu ndugu amulikwe na afuatililiwe,kwa maana juzi juzi tu amemliza sana Mrs moja wa watu akitaka ampe mapenzi,mama watu akakataa na sasa hali yake pale chuoni ni ngumu kwa jinsi jamaa anavyompelekesha.
huu ni ufisadi mwingine,je kwa jinsi hii dada zetu wataangamia!!!!
Nimepata taarifa za kusikitisha kutoka kwa baadhi ya marafiki zangu wa karibu sana ambao wanasoma masomo ya jioni pale chuo kikuu cha Mzumbe,D'salaam Campus,kwamba kuna mwalimu (lecturer) wao Dr Felician Barongo ambaye anafundisha masomo ya Human resource Management,anawasumbua sana kiasi cha kuleta kilio kwa mabinti wanaochukua masomo hayo katika chuo hicho.
Mzee huyo nasikia hutumia silaha ya kutoa test darasani ambazo anajua kabisa kuna watu atawakamata, na mara nyingi wanaokamatwa ni mabinti,akisha wakamata,anawaita moja moja wale wote waliofanya vibaya wamuone ofisini. sasa wakisha kwenda moja moja kwa wakati wake anachagua wale anaowataka na kumwaga sera zake za mapenzi,ukikubali yanakuwa yameisha shule kwako inakuwa nzuri ,lakini ukikataa, unaanza kuchezeshwa kwata na kigwaride mpaka umpe kila anachokitaka.
naomba wana JF huyu ndugu amulikwe na afuatililiwe,kwa maana juzi juzi tu amemliza sana Mrs moja wa watu akitaka ampe mapenzi,mama watu akakataa na sasa hali yake pale chuoni ni ngumu kwa jinsi jamaa anavyompelekesha.
huu ni ufisadi mwingine,je kwa jinsi hii dada zetu wataangamia!!!!