Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
- Thread starter
- #21
Hapana TT, amini usiamini wako wengi sana ndani ya ndoa wana hali kama hii na kamwe haisababishwi na uzembe wao.
thanks nafikiri malezi yetu yametunyima kwa kiwango kikubwa kusema ule ukweli uliopo moyoni watu wengi wapo radhi kuendelea kugugumia na maumivu mioyoni kuliko kutibu majeraha yaliyopo mioyoni mwao.ndio inafikia mahali wengine wanachinja wake/waume watoto yote hii ni misongo ya mawazo.