Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Enyi wadau wa sub-forum hii ya technology ni vizuri tukawa tunajulishana kama solutions mbalimbali zilizotolewa na wadau humu zimesaidia kutatua matatizo husika. Kwa mfano kama ulikuwa na tatizo la kifaa cha kutofanya kazi kisha ukashauriwa ufanye kitu fulani (umepewa solution), basi ni vizuri ukatuletea feedback kama kifaa chako kimepona au la! Ni ushauri tu wadau.