Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Ndiyo maana yake kwani wakithubutu kumwaga mboga na wao wanamwaga ugali WIN WIN situation hiyo.
Teh teh teh. Walikuwa wansafisha ghala ili pesa mpya zije kuanzia Julai mosi. Hapo ni win/loose
Ndiyo maana yake kwani wakithubutu kumwaga mboga na wao wanamwaga ugali WIN WIN situation hiyo.
Teh teh teh. Walikuwa wanasafisha ghala ili pesa mpya zije kuanzia Julai mosi. Hapo ni win/loose
Pesa mingi ndio kiasi gani?aliacha ngapi ukilinganisha na alizobeba? MikatabJamani Mkapa alivyoondoka Ikulu aliacha pesa mingi mno!
Huyu naye aliyekuwa ktk ofisi hii ametangaza nia lakini hajasema hili suala liliishaje
Aaaah Kubenea wee, huu utumwa wa kalamu kutumikia mabwana wako kwa malipo ya unyapala kumkashifu Membe itakufikisha wapi Mkuu wangu. Ama kweli ipo sababu ya kuweka Cyberbill kwa watu kama hawa maana sasa UNAFIKI umekuwa nje nje..Fedha za safari za JK zaibwa
MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa "kwa ajili ya safari za rais," MwanaHALISI limeelezwa.
Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni "kutoka benki moja nchini."
........................................................................
Source: Gazeti la Mwanahalisi:
Aaaah Kubenea wee, huu utumwa wa kalamu kutumikia mabwana wako kwa malipo ya unyapala kumkashifu Membe itakufikisha wapi Mkuu wangu. Ama kweli ipo sababu ya kuweka Cyberbill kwa watu kama hawa maana sasa UNAFIKI umekuwa nje nje..
Mkuu unakuwa kama huishi Bongo, yaani taarifa za kuchovya kama hizi ndio chanzo cha kupitishwa Cyberbill itakayo tuathiri sote hapa JF kwa sababu mtu unalipwa kuandika vitu ambavyo sio vya kweli na vinapotosha. Kama Kubenea ni mkweli ebu mwabieni aandike lolote dhidi ya Lowassa halafu ndio tuijue nguvu ya kalamu..".............kalamu ya mwandishi ni kitu cha kuogopwa sana na wanasiasa hasa pale linapokuja suala la kufichua maovu, wengine hujiona kama wanaonewa na kuchonganishwa kwa wananchi wao.........."
Mkuu unakuwa kama huishi Bongo, yaani taarifa za kuchovya kama hizi ndio chanzo cha kupitishwa Cyberbill itakayo tuathiri sote hapa JF kwa sababu mtu unalipwa kuandika vitu ambavyo sio vya kweli na vinapotosha. Kama Kubenea ni mkweli ebu mwabieni aandike lolote dhidi ya Lowassa halafu ndio tuijue nguvu ya kalamu..
Aaaah Kubenea wee, huu utumwa wa kalamu kutumikia mabwana wako kwa malipo ya unyapala kumkashifu Membe itakufikisha wapi Mkuu wangu. Ama kweli ipo sababu ya kuweka Cyberbill kwa watu kama hawa maana sasa UNAFIKI umekuwa nje nje..
Aaaah Kubenea wee, huu utumwa wa kalamu kutumikia mabwana wako kwa malipo ya unyapala kumkashifu Membe itakufikisha wapi Mkuu wangu. Ama kweli ipo sababu ya kuweka Cyberbill kwa watu kama hawa maana sasa UNAFIKI umekuwa nje nje..