Kama ni kweli watakuwa wamefanya jambo la maana mkuu abaki nchini for a while maana amezidi
Hizi billoni tatu walikuwa wanazipiga kabla ya kufunga mwaka wa fedha ;wanajua sasa wakati wa bajeti zingine zitaingia kwahiyo walikuwa wanasafisha chungu!!
Kama ni kweli watakuwa wamefanya jambo la maana mkuu abaki nchini for a while maana amezidi
IKulu leo ama kesho itakuja na waraka kukanusha haya madai
Mwalimu wangu kule Tosa boy aliwahi sema baada ya tuhuma kuwa anaiba chakula Kama baba ni mwizi, mama ni mwizi na watoto ni wezi, familia inakuwa ni ya wezi tu. Kwa maana hiyo Rais kama Rais ni mwizi basi si ajabu watoto nao wakawa wezi, maana Rais kama alivyo baba, asingekuwa mwizi, basi hata watumishi wa ngazi za chini(watoto) nao wasingekuwa wezi. Maoni yangu, kama wamesimamishwa ni bora tu wakaachiwa waendelee na kazi maana linchi linanukia harufu ya wizi tu.
The unseen is illustrated by the seen.
Hazijaibwa Ikulu zimeibwa mambo ya nje na Maafisa ambao sio wa Ikulu bali ni wa wizara hiyo.... mwanahalisi wametumia Ikulu kuuza gazeti lao. Fedha zilikuwa mikononi mwa wizara hiyo na ndio walikuwa walinzi wa fedha hizo sio Ikulu. Let be fair
Sio mchezo mkuu hata wao wanaona jinsi 'VASCO DA GAMMA' anavyozichota hadi wanapata hasira.
Sio mchezo mkuu hata wao wanaona jinsi 'VASCO DA GAMMA' anavyozichota hadi wanapata hasira.
Katakamuliwa damu alafu:thinking:Wana jf kuna kitu kinaitwa 'cash cow'
Ukiiba sasa wezi wengine wakajua unaiba sana, nao wanajua mchongo, watakuibia na wewe tu.
Ndio maaana huko ikulu kila mtu anapatakaeee, pesa zote hizo ni kwasafari tuu au na kwa mambo mengine?. Kwautashi wangu wa haraka bila kufanya utafiti akinifu, tunakoelekea kubaya na tena kubaya sana, halii hii inatisha kwa mtu anaye tafakari kwa kina na kibinaadamu. Hii kwa mfano naweza kusema watoto waingie kwenye chumba cha baba yao na kufungua kabati la kuifadhia pesa za baba yao na kuchukua fedha bila kupata ridhaa kutoka kwa mzazi, hiii ni mbaya machoni na kusikia. Kama wazazi wetu walio aminika nakupewa madaraka makubwa namna hii tena wenye kuhitaji uzalendo wa hali ya juu zaidi wanaweza kufanya hivyo sijui miaka ishirini ijayo kutakua na haligani Tanzania, nafikiri udhalimu wote utafanyika katika nchi hii, itakua zaidi ya pango la wanyang'anyi, fanya utakavyo hakuna wakukuuliza! INASIKITISHA KWELI KWELI!
Fedha za safari za JK zaibwa
MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa "kwa ajili ya safari za rais," MwanaHALISI limeelezwa.
Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni "kutoka benki moja nchini."
........................................................................
Source: Gazeti la Mwanahalisi:
Haswaaaaa, na ukiona hivyo wameiba kwa jeuri kwani wanajua siri nyingi za wakubwa wao wanavyokula, mtaona hawatafanywa kitu.
Huu ni upepo tu.