Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Wakuu habar za asubuh? Naomba kujuzwa ni kiasi gan cha FEDHA wanachostahili kulipwa waajiriwa wapya wa UALIMU kwa ngaz ya DIPLOMA na CHETI waliopangwa katika HALMASHAURI? Na je kiasi hicho ni sawa na Tshs ngap kwa siku? Na inastahili iwe kwa siku ngap? Coz kuna halmashaur moja nimepita nikakuta walimu wapya wa ngaz ya CHETI (GRADE A) waliokuwa wakihimizana KUGOMA baada ya kuambiwa kuwa stahiki zao za KUJIKIMU ni shiling LAKI MOJA TU. huku wale wa DIPLOMA na DEGREE wakiwa hawajaelezwa chochote. naomba kuwasilisha wakuu