Watu naona wana shida ya uelewa hapa! Noni anasema waliagizwa watoe pesa walizopokea kwa hao walitumwa na wakubwa..narudie waliambiwa watoe na sio wakopeshe!!!ninyi mnaouliza habari za colateral nani amewambia kuna colateral?ni huruma ya hao walopewa kutoa hizo pesa ama la!kama ilivyokuwa wakati wakurudisha za epa kwa hiari ndivyo ilivyo kwa sasa kwa wachukuaji kutoka TIB! Na huyu noni ni mpumbavu kama hakuhusija kwenye mchakato wa kuwakopesha/kwa nini anaongea habari za kuwadai???ndo shida ya watumishi wachafu aka mafisadi,confo zero kabisa...chukua hatua