Watanzania kuweni macho. Haiingii akilini kwa serikali kukwapua kiasi chote hicho cha pesa na kudai kuwalipa fidia watu wasiojulikana majina yao. Hiyo ni mikakati mizito ya kusaidia kueneza uislamu na wala sio fedha kwa ajili ya maandalizi ya kampeni ya uchaguzi wa mwaka 2015 kama mwandishi mmoja alivyoandika hivi karibuni. Ni fedha zinazokwapuliwa kwa nguvu ili kuanzisha mahakama ya kadhi na kueneza uislamu, . Ee Mungu uinusulu nchi yetu na viongozi wabovu wasio na uzalendo, waliojawa na udini na ushirikina! Rais aseme wazi hizo pesa zinakwenda kwa nani!