jackline1
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,142
- 2,688
Kudaka penalt ni kubahatisha bana-hakuna ufundi wa kudaka penalt-Goalkeepers wote wana dive kabla haijapigwa alaafu anaomba God akutane nao-ndio maana wengine umlenga keeper because wanajua lazima ata dive left or righttuna pengo kubwa kule nyuma. mi naona jana Diego Alves alikuwa njema kuliko Ter. hata ile penalty chupuchupu ainase.