jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Kibaba imekula kwako
Sitaki tena ubishi na wewe
...wewe ndio unapenda ubishi!, huku ndio hatutaki tena ubishi na nyie,mnatuzidi bahati tu,nothing else!
Kibaba imekula kwako
Sitaki tena ubishi na wewe
Siku messi akichukua kombe na argentina uje tubishane...wewe ndio unapenda ubishi!, huku ndio hatutaki tena ubishi na nyie,mnatuzidi bahati tu,nothing else!
KING alishachukua kombePNC 1 kamwagiwa maji naona wacatalonia wanazeeka na king wao pasipo kombe la national team mikelele tu king king aibu hawaoni
VIVA BARCELONA TIMU BOOOOOORA KUWAHI TOKEA DUNIANISiku messi akichukua kombe na argentina uje tubishane
Aaah
Asha quit
Bwana Quitessi
Cr 7>>>>>giveupessiVIVA BARCELONA TIMU BOOOOOORA KUWAHI TOKEA DUNIANI
Siku messi akichukua kombe na argentina uje tubishane
Aaah
Asha quit
Bwana Quitessi
Siku messi akichukua kombe na argentina uje tubishane
Aaah
Asha quit
Bwana Quitessi
Dr.WHO,
Mimi si mpenzi wa Arsenal lakini kuna fununu kuwa Babel wa Holland anakuja Gunners!.. huyu kijana ni hatari sana na ndiye nguzo ya Holland kufikia final na pengine wanachukua Ubingwa wa under 21.
Mimi ManU damu.... haaa haaa haaa!
Hata hivyo natabiri kabla ya mwaka kuanza kuwa mabingwa wa mwaka kesho ni Liverpool!..