hata kama angekuwepo bado Suarez angechukuaSuarez ana nafasi ya kuongeza gap ya kuelekea kwenye pichichi na ueropean boot baada ya ronaldo kushindwa kurecover in time kuweza kucheza leo GO BARCA GO SUREBOY
Rakitic make it 1-0
Umepiga chafya tena niniYaani nilikuwa nimezibana, ile kupiga chafya tu jamaa wamefunga, ngoja niendelee kuzibana.
Hatoki mtu hapa, hii droo.