tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Nimeweza kumfahamu Munishi kupitia nyimbo, makala na video zake zinazoikosoa CCM wazi wazi kwamba kimezeeka na ni chama cha majambazi, hivyo kiondolewe madarakani. Hivi karibuni kaja na madai ya kutishiwa maisha na CCM. Naomba anayeijua historia ya huyu mtu, yupo wapi na anafanya nini. Anijuze.