Fatou Bensouda confirmed to head ICC after Ocampo

Sasa Chande amekosa kazi nyie mnashangalia nini hapo?

Tunashangilia kwasababu kama Chande aliweza kupewa Amri na RC wa Arusha Magessa Mulongo kuhakikisha mahakama yake haitoi dhamana kwa Mh. Lema. Je, wewe kwa akili (sio masaburi) yako unafikiria angeweza kutenda haki wakati tutakapo mpeleka (Jina kampuni) the Hague jamaa aliyebaka mchakato wetu wa katiba mpya? Kama Chande angepata huyo jamaa si angetuua with impunity maana angejua huko ICC yupo mshikaji wake.
 
Kwanini ajitoe chande na siyo huyo mama wa gambia? kwani huyo mama ndo mwafrika zaidi au?


Ukweli ni kuwa ajenda ya zamu ya kinamama ilikuwa inapata sauti kubwa na isingelikuwa busara kwa Tanzania ambayo ni moja ya nchi kinara katika kutekeleza ajenda hiyo kuonekana kama kizibo cha mafanikio hayo kwa kina mama wa Afrika.
 
Chande might be failing to work accordingly because of domineering orders from his boss JK. He has no option but to obey whatever Magamba sees as correct in order to protect his position though he privately understands his obligation to abide by the principles governing his job as Chief Justice. Having said that, his outstanding performance while working as the Chief Justice at Sri Lanka remains highly unchallenged. He indeed remains the first Tanzanian ever to work overseas as the state employed attorney and that achievement is worth appreciation.
 
Ukweli ni kuwa ajenda ya zamu ya kinamama ilikuwa inapata sauti kubwa na isingelikuwa busara kwa Tanzania ambayo ni moja ya nchi kinara katika kutekeleza ajenda hiyo kuonekana kama kizibo cha mafanikio hayo kwa kina mama wa Afrika.
I hate this......again unaingiza siasa za kipumbavu za tz kwenye professionalism.......hii post ya chief prosecutor wa ICC hutolewa kwa merits....na si kupeana kisiasa kama mlivyozoea tz.......na ndio sababu waliitisha majina.....there was no point for gender balance in this post......don't bring this crap here........mlivyozoea tz kupeana professional posts kisiasa usifikiri inawezekana kwenye international arena........mambo yenu ya gender equality ndio yaliwafanya hata mkawa na spika wa bunge mjinga na matokeo yake mnayaona sasa pale ambapo issue zenye maslahi ya taifa yeye(spika)anazisimamia kisiasa..........you only have this kind of shit in tz......
 
Wait a minute.. how credible is Chande as a Judge back home? Ukitafakari hapo utajua kwamba ICC imeepuka na mengi.
 
Wait a minute.. how credible is Chande as a Judge back home? Ukitafakari hapo utajua kwamba ICC imeepuka na mengi.

Kwa mda mfupi tu aliokaa madarakani ameweza kupokea na ku-obey amri ya mkuu wa mkoa at the expense of uhuru wa mahakama.
 
wanaofeli std7 huwa hawaendelei secondary...vivyo hivyo failure wa form4 huwa hawaendi n.k
Mahakama za bongo chini ya CHANDE na watangulizi wake tumeshuhudia wakuu wa wilaya na mikoa wakiwafanyia maamuzi na wao wanaenda kugonga mihuri tu...issue ya Lema juzijuzi Arusha ni mfano mmojawapo. Mkuu wa mkoa anakwenda kumsalimia hakimu na maamuzi yanakwenda ndivyo sivyo na CHANDE amenyamaza...na anyamaze milele hiyo nafasi asingeiweza....
na uswahiba wao wa Ocampo6 hapo kwa majirani wangechakachua tu hawa...si tunawajua.
 
Acha uzandiki...

Jaji Chande alijitoa tangia juzi jioni ili kuhakikisha kuwa mama huyo anashinda kwani endapo wangeenda katika kura Canada na wengine wangeliweza kutumia nafasi hiyo kuwagawanya waafrika na hivyo kutoa nafasi kwa wagombea wao....

Aisee!!!!!kweli nimekubali kuna mijitu ignorant humu jf!! nakuomba ufungue attachment usome kilichofanyika mpaka mwisho.....acha kuendeleza upumbavu wa kutokubali ukweli............kwa taarifa ni kwamba jaji Chande na huyu mama ndio waliobaki hadi mwisho.....waliojitoa ni wazungu.........acha kupika ujinga......stupid.......

Labda lugha ndio ngumu mkuu....maana ni kweli kwenye hiyo taarifa unayoyasema ndio ukweli....

"Bensouda had been in competition with Mohamed Chande Othman, chief justice of Tanzania after candidates from Britain and Canada withdrew from the final group of four". ".
 
..bora ameshindwa tu, manake CCM wangeweza kutuletea ujinga wao kwamba hiyo ni moja ya kielelezo kwamba we r doing good.

..halafu wamuandalie mapokezi makubwa na mabendera na manguo yao ya kijana, halafu wapige muziki na kungengua.

..mwisho, nafikiri in the next two years or so lazima kutakuwa na wa-Tanzania wanaotakiwa kupelekwa ICC. sasa hiyo ingemuweka ktk wakati mgumu sana Mohamed Othman kama angekuwa ndiyo Chief Prosecutor.
 
Kubalini yaishe hata waKenya walikuwa wanaomba Chande apate ili kesi yao iende vizuri [ Mutula Kilonzo classmate wake] lakini kukosa kwa Chande ndio salama ya wanyonge!!
 
I hate this......again unaingiza siasa za kipumbavu za tz kwenye professionalism.......hii post ya chief prosecutor wa ICC hutolewa kwa merits....na si kupeana kisiasa kama mlivyozoea tz.......na ndio sababu waliitisha majina.....there was no point for gender balance in this post......don't bring this crap here........mlivyozoea tz kupeana professional posts kisiasa usifikiri inawezekana kwenye international arena........mambo yenu ya gender equality ndio yaliwafanya hata mkawa na spika wa bunge mjinga na matokeo yake mnayaona sasa pale ambapo issue zenye maslahi ya taifa yeye(spika)anazisimamia kisiasa..........you only have this kind of shit in tz......

Mkuu, issue yenyewe ya kawaida lakini unatokwa na povu kwelikweli....ya nini?!! hata kama hutaki, jamaa alichoongea ndicho kilichotokea. Binafsi, inawezekana kizungu sikielewi vizuri lakini katika Statement aliyoitoa President of the Assembly (ICC) ndicho alichokisema omarilyas....Moja ya sentensi kwenye hiyo statement inasema ".........Based on theinput I have received as a result of these consultations, I am now in a position to suggest to the States Parties to agree informally that only one candidate will be nominated for the position of Prosecutor, which will facilitate the election of the Prosecutor by consensus, as asked for in resolution ICCASP/ 3/Res.6. The person thus nominated would be Ms. Fatou Bensouda from The Gambia."

Aidha, kuna paragraph kwenye hiyo statement anasema "..............There was also criticism of the gender dimension of the process, both as far as composition of the Search Committee and of the shortlist. You may know that two of the alternate members of the Search Committee were women and, perhaps more importantly, that the members of the Committee were chosen by the respective regional groups. I hope very much that those with strong feelings on gender balance in the composition of such Committees will make t heir views known at a moment where they can actually make a difference. Something quite similar can be said about the number of women on the shortlist. Those who have expressed disappointment that only one out of four persons shortlisted was a woman had for several months the opportunity to suggest the names of qualified women –without, however, making use of it. I certainly hope that the informal agreement on the election of the next Prosecutor will help put to rest any concerns in this regard. But again, a lesson should be that the Search Committee takes into account gender balance."

Sasa unachopinga wewe nini hapo?!

 
huyu chande amewahi kufanya nini humun nchini?...afadhali hajapata...ndiyo nimesema.

Asingeweza kwani kule hakuna cha kubonyeza kizenzi,kule kunataka ngwamba kwelikweli. Hii mambop ya yaheeee hayana nafasi,uswahili uswahili kama wa hapa tz noooooooo
 
..Chande ali-withdraw his candidacy.

..African Union[AU] walimu-endorse Fatou Bensouda as their candidate!!!

..wazungu nao walitoa majina yao kwasababu safari hii ilikuwa "zamu ya Muafrika."

..watu wa gender walilalamika kwamba kuna mwanamke mmoja tu ktk short list lakini hawakupendekeza majina zaidi.
 
[h=2]
fatou%20bensouda.jpg


Profile: Fatou Bensouda[/h]
  • Grew up in Gambian capital Banjul
  • Studied law in Lagos, Nigeria
  • Joined Gambia's justice ministry in 1987 as a deputy public prosecutor
  • Became Gambian attorney general and justice minister in 1998
  • Worked for Tanzania-based International Criminal Tribunal for Rwanda
  • Deputy Chief Prosecutor at the ICC since 2004
 
huyu wa kwetu jina ndo limemuangusha ..CHANDE?? aghhh limekaa kizobazoba hivi
 
Kesi dhidi ya viongozi wa Kiafrica zilivyo nyingi ataweza kweli kuwashughulikia bila upendeleo?
 
Back
Top Bottom