Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
SIKU HIZI NI JAMBO LA KAWAIDA MTU KUVAA JEZI YA TIMU YA NJE AU YA HAPA NCHINI NA KISHA KWENDA MATEMBEZINI.
KATIKA KUISHI KWANGU NIMEKUWA NIKIONA MARA ZOTE ZINAVALIWA JEZI ZA WACHEZAJI WA NDANI.
LAKINI KITUKO HIKI, NLICHOKIONA LEO KWA SHIGONGO NAOMBA NIKIITE CHA MWAKA.
JAMAA KAVAA JEZI YA KIPA MCHANA KWEUPEEEE...
HEBU FIKIRIA NGUO ZA MAKIPA ZIMETENGENEZWA NA NYLON, PIA ZINA MASPONJI NA MASTIFU MENGI SANA.
KWA HIYO ZINA JOTO KWELIKWELI...
LAKINI NDUGU YANGU HUYU HAKULIONA HILO AKAAMUA AFE NA FASHENI.
Joseph Shamba Vengu (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.
KATIKA KUISHI KWANGU NIMEKUWA NIKIONA MARA ZOTE ZINAVALIWA JEZI ZA WACHEZAJI WA NDANI.
LAKINI KITUKO HIKI, NLICHOKIONA LEO KWA SHIGONGO NAOMBA NIKIITE CHA MWAKA.
JAMAA KAVAA JEZI YA KIPA MCHANA KWEUPEEEE...
HEBU FIKIRIA NGUO ZA MAKIPA ZIMETENGENEZWA NA NYLON, PIA ZINA MASPONJI NA MASTIFU MENGI SANA.
KWA HIYO ZINA JOTO KWELIKWELI...
LAKINI NDUGU YANGU HUYU HAKULIONA HILO AKAAMUA AFE NA FASHENI.
Joseph Shamba Vengu (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.