Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Hatimaye kile ambacho hakiaminiki kule Serengeti ni kua kati ya wale Faru watano tuliokabiziwa kutoka Afrika ya kusini Faru mmoja ameuwawa kule katika hifadhi ya wanyama mbuga ya Serengeti. Faru hao tuliokabidhiwa walikua wamepewa ulinzi wa kutosha usiku na mchana lakini majangili wasiokua na huruma na wanyama hawa ameuwawa kwakweli hii ni habari ya kusikitisha sana. Muheshimiwa Raisi tunaomba hatua kali za kisheria zichukuliwe kuwapata maharamia hao waliojihusisha na ujangili huu wa aibu ndani ya nchi yetu kweli kweli inasikitisha na inatia aibu kubwa kwenye nnchi hii. Nawasilisha hii hoja.:angry: