Farmers sell wives to pay debts in rural India

...Ndo maana kumbe wahindi hawathamini utu wa mtu wao ni pesa tu. Mwanamke India hana thamani na wakiwa wanatembea njiani utakuta mme mbele, mke nyuma. Kufanya kazi ndo hawaruhusiwi mpaka labda mme awe amesoma nje kwa hiyo angalau anaelewa dunia inavyokwenda. Soma hapa chini:


http://edition.cnn.com/2009/WORLD/asiapcf/10/22/india.farmers.selling.wives/index.html
Kwa hiyo Wahindi wote wamekuwa hawathamini utu kwasababu ya huyu Muhindi mmoja tu aliyekosa adabu?
Hivyo ndo ulivyotafiti ww na ukaona hivyo...akija mwenzako hapa akikwambia kuna tajiri mmoja Uingereza anamiliki mikahawa na madanguro ya wanawake wacheza utupu na nyumba za kucheza filamu za ngono...na mkewe ndiyo starring hodari wa michezo hiyo, utasemaje...maana hapa kinachotafutwa ni pesa tu...kwa hiyo wazungu wote watakuwa hawajali utu kwakuwa mzungu huyu aliyekosa adabu anajipatia kipato kupitia 'sanaa' ya filamu ya mkewe na shughuli zinazoambatana na hizo?
Hapa Mkuu, kama mtoto kanyea kiganjani haina maana vingine vikatwe.
 
Kwa hiyo Wahindi wote wamekuwa hawathamini utu kwasababu ya huyu Muhindi mmoja tu aliyekosa adabu?
Hivyo ndo ulivyotafiti ww na ukaona hivyo...akija mwenzako hapa akikwambia kuna tajiri mmoja Uingereza anamiliki mikahawa na madanguro ya wanawake wacheza utupu na nyumba za kucheza filamu za ngono...na mkewe ndiyo starring hodari wa michezo hiyo, utasemaje...maana hapa kinachotafutwa ni pesa tu...kwa hiyo wazungu wote watakuwa hawajali utu kwakuwa mzungu huyu aliyekosa adabu anajipatia kipato kupitia 'sanaa' ya filamu ya mkewe na shughuli zinazoambatana na hizo?
Hapa Mkuu, kama mtoto kanyea kiganjani haina maana vingine vikatwe.

Lakini waache dharau zao kuwa eti wako juu kumbe hakuna kitu ni wenzetu tu.
 
Back
Top Bottom