naomba kama kuna mtu anamfahamu mwanadada anayeitwa farida au kama mwenyewe ni mwanachama humu anipm tafadhali ni muhimu sana.Anafanya biashara kati ya China na Bangkok kama sikosei ni biashara ya computer n.k,anaishi maeneo ya kndoni Muslim
Anaitwa Farida nani?Na amepotea au vipi?Halafu mfanyabiashara mkubwa hivyo hana link ya kumpata?Au kwa sababu anfanya biashara China na Bangkok ashaanza kuwa na FAKE IDENTITY hahahaha
Farida mwanamke mfanyabiashara Bankok/China!!!! Eleza yaliyokusibu mkubwa!!! Hawa wanawake wengine wanaoenda hiko Bankok mara Honkong mambo yao ni hatari!!!! Kama ulimgea tudola kako jua hutompata!! Tehe Tehe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.