jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,412
- 1,173
Baada ya mbwana samata kuhoji kuhusu uwepo wa winga huyu hapa nchini, ilihali alifuzu majaribio huko Spain. Hatimaye leo azam fc wathibitisha kupokea work permit yake. Maswali tuliyonayo wadau, why work permit itoke baada ya swala kuvaliwa njuga?? Je walikuwa nayo wakawa wameificha?? Anyway all the best dogo, usiwe kama shomari kapombe, boban, bali uwe kama ulimwengu na samata.