Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,450
Wanabodi,
Kwanza tupeane pole kwa msiba huu mkubwa wa member mwenzetu Regia Mtema!.
Najua jinsi wengi tulivyoguswa na msiba huu wa ghafla, hivyo huu pia ni wakati wa kufarijiana.
Nilimfahamu Regia Mtema wakati wa harakati za uchaguzi mkuu wa 2010 kupitia posti fulani ya Mzee Mwanakijiji. Nilikuja kukutana naye rasmi Bungeni Dodoma na nilipomuona, ndipo nikamtambua ni mtu wa aina gani!. Kusema ukweli ni miongoni mwa wanawake wachache majasiri ambayo wanajiamini kusimama na kile walichoamini.
Nakiri kukwaruzana naye humu jukwaani haswa kwenye post zangu zinazo criticise Chadema, ila tukikutana, tulizimaliza tofauti zetu.
Ni mwezi Desemba 2011 ndipo aliponikumbusha kumuona, kumbe Regia Mtema ni kile kibinti kidogo tulichokuwa tunakiona pale nyumbani kwa Priva Mtema, kikisoma primary, wakati sisi tukiwa chuo cha uandishi wa habari miaka ya 90!.
Sasa Regia, hatunaye!. Ila kiukweli ni hatunaye kidunia tuu!. Regia Mtema is dead and she is no more!. Lakini kiroho, Regia Mtema is still alive not only in our hearts, but she is alive indeed, spiritually!.
Binadamu ana sehemu kuu mbili, ya kwanza ni mwili (body) na roho (spirit).
Mwili ndio phisical body, huu tunaouona kwa macho, huu unaotazamika, kushikika, unaoonekana, na ndio mwili huu unaokufa na kuzikwa na kugeuka no more!.
Mwili wa pili ni mwili wa kiroho, spiritual body, astral body, ambao haufi, unaishi milele!. Hivyo kwa Regia Mtema, kilichokufa ni ile phisical body yake tuu, lakini spiritual body yake iko hai na saa hizi anashuhudia kila kinachoendelea kuanzia kwenye familia yake mpaka jf!. Kwa waumini wa Kikiristo, roho yake inakwenda kwenye pumziko la muda, ikisubiri ile siku ya ufufuo wa wafu na uzima wa milele ambapo roho za wote waliokufa, zitafufuliwa kwa hukumu ya mwisho zikiwa kwenye miili mipya na nchi mpya!.
Hivyo wapendwa, pamoja na huzuni zetu kuondokewa na mwenzetu huyu Regia Mtema, nawaombeni tujifariji kuwa Regia hatunaye kimwili tuu, lakini bado yuko nasi kiroho na sisi ambao ni waumini wa "life after life", tunaamini licha ya kutokuwepo kimwili, lakini bado atasimamia yale aliyo yaasamini!.
Kipindi hiki chote ambacho mwili wake bado haujawekwa kwenye pumziko la milele, japo the body is dead body, astral body yake is still attached to the body, anaona na kusikia kila kinachoendelea mpaka after several hours, be it 24, 48 up to 72! ndipo astral body ina get detached na kuacha physical body iki decompose huku astaral body au ikiendelea wondering as "wondering spirit", au iki seek refuge in a new body na to continue with "after life'!.
Kwa vile hiki ni kipindi cha majonzi, nawaombeni sana, msiniulize maswali yoyote kuhusu "life before life, na "life after life"!, ila baada ya shughuli za msiba kukamilika, nitakuja na thread kuhusu maisha in such a way, mtagundua death is only a transformation of life, but life goes on!.
Dada Yetu Regia, May Your Soul Rest in Eternal Peace!
Amen.
Pasco.
Kwanza tupeane pole kwa msiba huu mkubwa wa member mwenzetu Regia Mtema!.
Najua jinsi wengi tulivyoguswa na msiba huu wa ghafla, hivyo huu pia ni wakati wa kufarijiana.
Nilimfahamu Regia Mtema wakati wa harakati za uchaguzi mkuu wa 2010 kupitia posti fulani ya Mzee Mwanakijiji. Nilikuja kukutana naye rasmi Bungeni Dodoma na nilipomuona, ndipo nikamtambua ni mtu wa aina gani!. Kusema ukweli ni miongoni mwa wanawake wachache majasiri ambayo wanajiamini kusimama na kile walichoamini.
Nakiri kukwaruzana naye humu jukwaani haswa kwenye post zangu zinazo criticise Chadema, ila tukikutana, tulizimaliza tofauti zetu.
Ni mwezi Desemba 2011 ndipo aliponikumbusha kumuona, kumbe Regia Mtema ni kile kibinti kidogo tulichokuwa tunakiona pale nyumbani kwa Priva Mtema, kikisoma primary, wakati sisi tukiwa chuo cha uandishi wa habari miaka ya 90!.
Sasa Regia, hatunaye!. Ila kiukweli ni hatunaye kidunia tuu!. Regia Mtema is dead and she is no more!. Lakini kiroho, Regia Mtema is still alive not only in our hearts, but she is alive indeed, spiritually!.
Binadamu ana sehemu kuu mbili, ya kwanza ni mwili (body) na roho (spirit).
Mwili ndio phisical body, huu tunaouona kwa macho, huu unaotazamika, kushikika, unaoonekana, na ndio mwili huu unaokufa na kuzikwa na kugeuka no more!.
Mwili wa pili ni mwili wa kiroho, spiritual body, astral body, ambao haufi, unaishi milele!. Hivyo kwa Regia Mtema, kilichokufa ni ile phisical body yake tuu, lakini spiritual body yake iko hai na saa hizi anashuhudia kila kinachoendelea kuanzia kwenye familia yake mpaka jf!. Kwa waumini wa Kikiristo, roho yake inakwenda kwenye pumziko la muda, ikisubiri ile siku ya ufufuo wa wafu na uzima wa milele ambapo roho za wote waliokufa, zitafufuliwa kwa hukumu ya mwisho zikiwa kwenye miili mipya na nchi mpya!.
Hivyo wapendwa, pamoja na huzuni zetu kuondokewa na mwenzetu huyu Regia Mtema, nawaombeni tujifariji kuwa Regia hatunaye kimwili tuu, lakini bado yuko nasi kiroho na sisi ambao ni waumini wa "life after life", tunaamini licha ya kutokuwepo kimwili, lakini bado atasimamia yale aliyo yaasamini!.
Kipindi hiki chote ambacho mwili wake bado haujawekwa kwenye pumziko la milele, japo the body is dead body, astral body yake is still attached to the body, anaona na kusikia kila kinachoendelea mpaka after several hours, be it 24, 48 up to 72! ndipo astral body ina get detached na kuacha physical body iki decompose huku astaral body au ikiendelea wondering as "wondering spirit", au iki seek refuge in a new body na to continue with "after life'!.
Kwa vile hiki ni kipindi cha majonzi, nawaombeni sana, msiniulize maswali yoyote kuhusu "life before life, na "life after life"!, ila baada ya shughuli za msiba kukamilika, nitakuja na thread kuhusu maisha in such a way, mtagundua death is only a transformation of life, but life goes on!.
Dada Yetu Regia, May Your Soul Rest in Eternal Peace!
Amen.
Pasco.