FAQ in ICT - Your input Please

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Napenda kujua maoni ,experrince na observation zenu kujua ni FAQ ( Frequently asked Questions) gani huwa zinaulizwa sana sana na mara kwa mara kuhusu mambo ya Teknolojia na habari , mawasiliano, Simu na mambo ya computer aka ICT.

Mfano mara nyingi tunalizana uhusu
  • Antivirus gni ni bora, Browsergani ni Bora
  • Laptop gani inafaa, Simu gani nzuri
  • kati ya Mac na windows ipi ni bora
  • Commuter iko slow nini sababu.
  • ect?
  • etc
NB
Nahitaji msaada wa maswali common tu .Majibu nitayafanyia reseacrh ili niyaweke kwenye ukurasa wa gym ya ICT dokta

Nawasilisha
 
Namna yakuchakachua modem, serial keys za software na namna yakutumia bure baadhi ya huduma
 
My computer cannot read flash disks. What is the problem?

A lot could be wrong! Just a handful to ponder about.

1. Flash support might have been disabled from the Bios.
2. Windows registry for flash support is corrupted.

3. Your Flash ports are dead.
4. Flash support is disabled in the hardware devices manager in your OS.
5. Virus infections.
6. Missing/Not installed or corrupted usb drivers.
7. Damaged usb device.
8. The flash icon is hidden from the list of your drivers (yet is installed).

9. Insufficient power from your Usb ports.
10. Power surges from usb ports.
11. Secured Flash drives
12. Insuffient Admnistrative privileges to do the installation.
Z. Google for more answers Mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom