Fao la kujitoa mifuko ya Hifadhi ya Jamii kurudishwa

Mpaka nione manyoya tena ya leo leo ndio nitaamini kaliwa hivi hivi sielewi.
 
Labda tusubiri bunge litasema nini kuhusu sheria itakayotumika hapo, lakini kwa kuanzia ni habari njema kusikia hivo!
 
Hii ni kwa mujibu wa ndugu Magori (DO – DIRECTOR OF OPERATIONS) katika kipindi cha kipimajoto wakati anamalizia kuzungumza. Amesema kuwa fao la kujitoa, serikali haina tatizo. Inaweza kutoa wakati wowote na kwamba amewapanga mameneja wake tayari kwa kazi hiyo. Ila ametoa angalizo-Kama huna mpango sahihi na hela hizo bora uziache. Ukiacha kazi, usichukue fedha zako bali tafuta nyingine na uendeleze kuweka akiba ili uje kufaidi pensheni. Kiujumla kajitahidi kujitetea, ila lililokuwa likisubiriwa ni hiyo kauli yake ya mwisho.

530781_498119836878641_1408481086_n.jpg
 
Kama wamerudisha hali kama ya zamani kabla hawajaanza kutuletea za kuleta ndiyo tutasitisha mipango yetu ya kuanza kudai fao letu kwa nguvu!

Watingaji tulikuwa tunadai kwa njia ya kiungwana na kidiplomasia-kama ingeshindikana tungelianzisha wakatumaliza kama wa Marekana, ila tulikuwa tumejiandaa vyema tusingekufa kibudu lazima na sisi tungeondoka na baadhi yao na kuandika historia mpya katika nchi ya Nyerere!
 

Hawa ssra si watu makini kabisa iweje sheria ya hifadi za jamii ianze kutumika bila kanuni na miongozo? Nyie ssra inabidi mshitakiwe kabisa itabidi tumuandikie barua mtikila akawashitaki kwenye mahakama ya kimataifa kwa kuwalaghai wafanyakazi hawajaridhia ilo 102 act lkn wanatunyonya kwa kutumia hzo act za ilo
 
hii ni kwa mujibu wa ndugu magori (do – director of operations) katika kipindi cha kipimajoto wakati anamalizia kuzungumza. Amesema kuwa fao la kujitoa, serikali haina tatizo. Inaweza kutoa wakati wowote na kwamba amewapanga mameneja wake tayari kwa kazi hiyo. Ila ametoa angalizo-kama huna mpango sahihi na hela hizo bora uziache. Ukiacha kazi, usichukue fedha zako bali tafuta nyingine na uendeleze kuweka akiba ili uje kufaidi pensheni. Kiujumla kajitahidi kujitetea, ila lililokuwa likisubiriwa ni hiyo kauli yake ya mwisho.


kimpango wake
kivyake vyake
hela ni yangu,nimeitafuta kwa jasho langu,maisha pia ni yangu
na najitambua na nina akili zangu timamu
napofikiria kuifadhi pesa naifadhi kwa ridhaa yangu
na napotaka kuchua basi nichukue kwa ridhaa yangu
nishagaili sasa,naichukua yotee,,,
 
lifuatalo ni tangazo la mamlaka ya usimamizi na udhibiti wasekta ya hifaji ya jamii (ssra)...limetolewa leo (copy ninayo) na kusambazwakwa vyombo vya habari hapa bungeni dodoma...

mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa sekta ya hifadhi yajamii (ssra), inapenda kuufahhamisha uma kufutwa kwa tanzano lililotolewa mweziagosti 2012 kwenye vyombo mbali mbali vya habari lililohusu kusitishwa kwa faola kujitoa.
maamuzi haya yanaenda sambamba na hatua ya serikalikuendelea na utekelezaji wa azimio la bunge tukufu la jamuhuri ya muungano watanzania katika kikao chake cha nane kilichoazimia pamoja na mambo menginekuirejea sheria ya hifadhi ya jamii (the social security laws amendments act no.5 of 2012).

My take:

sasa swali...je! Unadhani hatua hii ina unafuu wowote kwawafanyakazi! Je! Huku si kuuhadaa umma! Kwani kuondoa tangazo kunabatilishauhalali wa sheria! Tafakari na chukua hatua….

mhhhh,
 
Hii maana yake nini wakuu ''Sasa ni rasmi fao la kujitoa larejea kwenye mifuko ya jamii''

Nombeni munipe maana halisi. KUjitoa kwenye mfuko wa jamii?!!
 
Back
Top Bottom