itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 209
- 71
Serikali inatarajia kutoa kauli ya kuruhusu fao la kujitoa kwa wafanyakazi kutoka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii katika kikao cha bunge kinachotarajia kuanza leo jumanne mjini Dodoma. hali hii imetokana na malalamiko ya wafanyakazi juu ya sheria iliyokuwa ikiwakataza kuomba fao hilo mara baada ya kuacha ajira mpaka wanapofikia umri nwa kustaafu. Fuatilia vikao vya bunge kwa taarifa zaidi
source; Habarileo
source; Habarileo